Na Joseph Mahumi, WF, Washington.
Kitomari Banking & Finance Blog
Kitomari Banking & Finance Blog is a premier site for banking, finance, business, economic, investment and stock market news as well as selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the World. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.
Tuesday 23 April 2024
DKT. NCHEMBA ATETA NA MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA DUNIA KUNDI LA AFRIKA
Na Joseph Mahumi, WF, Washington.
BIMA YA AFYAPASS KUTOKA VODABIMA YARAHISISHA HUDUMA ZA AFYA
Mwamko mdogo wa Watanzania kuhusu bima ya afya ni mojawapo ya changamoto katika kutoa huduma bora za afya kwa wote kutokana na idadi ndogo ya Watanzania wenye bima. Takwimu za Wizara ya Afya (2022) zinaonesha kuwa asilimia 15 tu ya Watanzania, sawa na watu milioni 9.1, walikuwa na bima ya afya mwishoni mwa mwaka 2021, ikishuka kutoka asilimia 32% mwaka 2018.
Vodacom Tanzania PLC imeungana na Assemble Insurance na kuja na bima ya afya ya kijiditali kupitia simu ya mkononi iitwayo AfyaPass ambayo ni rahisi, nafuu, na inapatikana kwa Mtanzania popote pale alipo
nchini. Bima hii inapatikana kwa bei nafuu ya Shilingi 70,000 kwa mwaka kwa mtu mmoja na vifurushi vya familia kutoka TZS 105,000 kwa watu wawili hadi TZS 385,000 kwa watu sita kwa mwaka na inapokelewa katika hospitali binafsi na za serikali. Kwa malipo kidogo ya nyongeza, mtumiaji anaweza kupata huduma za uzazi, radiolojia, mazoezi tib ana nyingine nyingi.
Vodacom Tanzania PLC imeungana na Assemble Insurance na kuja na bima ya afya ya kijiditali kupitia simu ya mkononi iitwayo AfyaPass ambayo ni rahisi, nafuu, na inapatikana kwa Mtanzania popote pale alipo
nchini. Bima hii inapatikana kwa bei nafuu ya Shilingi 70,000 kwa mwaka kwa mtu mmoja na vifurushi vya familia kutoka TZS 105,000 kwa watu wawili hadi TZS 385,000 kwa watu sita kwa mwaka na inapokelewa katika hospitali binafsi na za serikali. Kwa malipo kidogo ya nyongeza, mtumiaji anaweza kupata huduma za uzazi, radiolojia, mazoezi tib ana nyingine nyingi.
Unaweza kujiunga na AfyaPass kupitia M-Pesa ikiwa ni moja ya aina za bima zinazotolewa kupitia VodaBima yenye lengo la kurahisisha upatikanaji wa huduma za bima kwa kila mtu bila kujali kipato chake au umbali wa eneo anapotoka nchini Tanzania.
VODACOM YATOA MSAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO PWANI
ADVANCING CIRCULARITY WITH THE GALAXY S24 SERIES
- Samsung is celebrating Earth Day by reflecting on the Galaxy S24 series and spotlighting the work of young changemakers
Finding the Balance Between Innovation and the Environment
Samsung is reimagining how Galaxy technology is designed and packaged to do more with less when it comes to our planet’s natural resources. For the last decade, we have worked to innovate high-performance components that are made with recycled materials.
We took an important step in 2022 when we incorporated recycled discarded fishing nets, also known as ghost nets, in the Galaxy S22 series. Recycled materials can now be found in all Galaxy mobile products, including smartphones, tablets, PCs and wearables. At the same time, we have expanded our use to a greater variety of materials, from several different types of plastics to metals and glass.
The Galaxy S24 series takes these actions one step further. For the first time in any Galaxy device, we developed key device components with recycled cobalt, rare earth elements and steel. The battery in the Galaxy S24 Ultra contains a minimum of 50% recycled cobalt, and 100% recycled rare earth elements and a minimum of 40% recycled steel were used in the speakers.
Samsung has a long history of addressing the pervasive challenge of plastic waste through our recycled material innovations, and recycled plastics continue to play an important role in the Galaxy S24 series. The Galaxy S24 series maintains our use of recycled plastics sourced from discarded fishing nets, water barrels and PET bottles.
NMB YADHAMINI MKUTANO MKUU ALAT TAIFA; RAIS SAMIA KUFUNGUA LEO
Monday 22 April 2024
TANZANIA YAISHAURI BENKI YA DUNIA KUWEKA VIPAUMBELE MIRADI YA MAENDELEO AFRIKA
Na Scola Malinga, WF, Washington.
TANZANIA imeishauri Benki ya Dunia kutilia maanani vipaumbele vya maendeleo vya nchi za Afrika ikiwemo kuzipatia fedha na ujuzi ili ziweze kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo.
Rai hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB), kwenye Mkutano wa Mawaziri wa Fedha na Magavana wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika la Benki ya Dunia) (WBG Africa Group 1 Constituency) uliofanyika Washington DC, nchini Marekani.
Alisema kuwa Benki ya Dunia imekuwa inasaidia kwa kiasi kikubwa nchi za Afrika na sasa wasaidie kuwekeza nguvu zaidi kwenye miradi ya Maendeleo ili kuinua uchumi kwa haraka.
“Tunaiomba Benki ya Dunia inapopitia matarajio yao iweke kipaumbele kwa Afrika na kwa nchi moja moja na kutoa nyongeza ya rasilimali fedha,” alisema Dkt. Mwamba.
TOSHIBA RECEIVES ORDER FOR POWER GENERATION EQUIPMENT FOR RENOVATION OF GEOTHERMAL POWER PLANT IN KENYA
- Toshiba’s high-performance turbines and generators have improved power generation output by 40% compared to conventional models
Olkaria I geothermal power plant is the oldest geothermal power plant in Kenya and has been in commercial operation by the Kenya Electricity Generating Company PLC (hereinafter “KenGen”) since 1981.
Units 1 through 3 of the plant need renovation due to aging, and Toshiba ESS’s steam turbines and generators have been selected for the renovation. This will increase the power output of Units 1 through 3 from the current 15 Megawatts(MW)to 21 MW each, enabling them to achieve a higher output with less steam. These points were highly evaluated by KenGen and led to the adoption of the contract.
Kenya’s economic growth is spurring demand for power. The government has responded with a comprehensive blueprint for development, Vision 2030, which currently includes provision for boosting Kenya’s electricity generating capacity from renewable sources and seeking to transition to 100% green energy by 2030. Many new geothermal power plants are planned to tap into the 9GW geothermal potential in Kenya’s Great Rift Valley region.
Sunday 21 April 2024
DKT. NCHEMBA ATETA NA UONGOZI WA USAID
Friday 19 April 2024
NMB PESA AKAUNTI YAWAVUTIA WAKAGUZI WA NDANI AFRIKA, ARUSHA
Mikutano hiyo miwili imeudhuriwa na takribani wajumbe 2000 wengi wakiwa Watanzania na wengine wakitoka katika nchi 26 za Afrika pamoja na mataifa kadhaa nje ya bara hili.
“Tunautumia pia mkutano huu kwa ukubwa wake kama fursa ya kuonyesha umahili wetu wa kutoa huduma bora, ubunifu mkubwa wa bidhaa na jinsi tunavyowekeza vilivyo katika teknolojia mpya za kisasa,” Bw Mphuru alibainisha.
DKT. NCHEMBA: TANZANIA IMEPIGA HATUA KIUCHUMI NA KIDEMOKRASIA
Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (MCC), Bi. Chidi Blyeden, akizungumza jambo wakati wa Mkutano wa Uongozi wa Shirika hilo na Ujumbe wa Tanzania. |
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amelihakikishia Shirika la Marekani la Changamoto za Milenia (Millennium Challenge Corporation-MCC) kwamba Tanzania imepiga hatua kubwa katika masuala ya haki za binadamu, utawala bora, demokrasia na usimamizi imara wa uchumi wa nchi.
Dkt. Nchemba amesema hayo alipoongoza ujumbe wa Tanzania, kukutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa juu wa Shirika hilo, ukiongozwa na Makamu wake wa Rais Mhe. Alicia Mandaville, Jijini Washington D.C nchini Marekani, ambapo pande hizo mbili zilijadili namna ya kuharakisha utekelezaji wa mpango wa kusaidia mageuzi ya kisera na kitaasisi ili kutatua vikwazo vya ukuaji uchumi, kupitia ruzuku itakayotolewa na Shirika hilo.
Alisema kuwa hatua hiyo si tu kwamba ni utekelezaji wa vigezo vilivyowekwa na Shirika hilo ili Tanzania iweze kunufaika na mpango huo unaolenga kutoa misaada ya kiufundi, bali ni nia ya dhati ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kulinda uhuru wa watu.
Dkt. Nchemba aliihakikishia MCC kwamba Tanzania iko tayari kushirikiana na Serikali ya Marekani katika mpango huo na kuuomba uongozi huo kuuamini mchakato huo na ikiwezekana kuipatia nchi mradi mkubwa wa COMPACT II, utakao iwezesha nchi kupata fedha za kutekeleza miradi ya kimkakati katika sekta za usafirishaji, nishati, na maji.
EXCITING CAREER OPPORTUNITIES AT NMB BANK PLC
We are renowned for investing, nurturing and transforming careers. Our commitment to diversity, equity and inclusion has led us to become the first financial institution in Africa to attain the most coveted EDGE Certification (EDGE Assess). We are more than a bank.
The following vacancies are currently available;
- Insights & Customer Journey Manager - Head Office (Closing date; 23 April 2024)
- Relationship Manager; Mortgage Financing - Highlands Zone (Closing date; 30 April 2024)
- Senior Audit Associate; Data Analytics - Head Office (Closing date; 22 April 2024)
- Senior Manager; Affluent - Head Office (Closing date; 23 April 2024)
- Senior Manager; Corporate Banking - Head Office (Closing date; 26 April 2024)
- Senior Manager; Mass Liabilities - Head Office (Closing date; 26 April 2024)
BERNICE FERNANDES APPOINTED AS BOARD MEMBER FOR GLOBAL ENTREPRENEURSHIP FESTIVAL
Set against the backdrop of the Entrepreneurship Village (E-Village) in Ondo State, Nigeria—a burgeoning hub often likened to Africa's Silicon Valley—the festival promises a convergence of global business titans, political leaders, and aspiring entrepreneurs.
The festival's agenda is as diverse as it is compelling, featuring a plethora of activities ranging from startup pitch competitions to a women's congress, leadership forums, trade fairs, and innovation showcases. With elements like hackathons, fashion shows, and concerts, the festival promises a dynamic blend of business and cultural exchange.
At the helm of this global initiative stands Bernice Fernandes, Founder and CEO of the Accelerate Business Group and the Accelerate Women's Initiative in Tanzania. Armed with an impressive academic pedigree—including an MBA in Entrepreneurship, a Masters in International Business, and a Bachelors in Finance from the United States—Bernice is eminently qualified to serve on international boards.
Accelerate Business Group is a business advisory firm for growth, providing strategic consulting, corporate training, coaching as well as facilitation services.
Accelerate Women's Initiative hosts executive conferences, masterclasses as well as a powerful networking platform for women in business.
VODACOM YAZINDUA SIMUJANJA MAALUMU KWA WATEJA WENYE ULEMAVU
Toleo hili jipya la 'Smart Kitochi+' ni sehemu ya juhudi za Vodacom kuwapeleka wateja wake kwenye matumizi ya kidigitali, ikiwa ni pamoja na mtandao wa 4G, ambao bado una watumiaji wachache ikilinganishwa na idadi ya watumiaji wa simu za mkononi nchini Tanzania.
"Tunajivunia kuwa mtandao unaoongoza nchini, tukitoa huduma za kidigitali za ubunifu kwa zaidi ya wateja milioni 21. Kuwa na idadi kubwa ya wateja pekee haitoshi; tunataka wateja wetu wanufaike na mapinduzi ya kidigitali yanayoendelea na ubunifu mkubwa tunaoingiza kwenye bidhaa zetu. Kwa kuanzisha bidhaa za kisasa kama 'Smart Kitochi+' tunaamini tutachochea wateja wengi zaidi kuhama kutoka kwenye mfumo wa 2G na kuanza kufurahia huduma mbalimbali za kidigitali zinazotolewa na mtandao wetu wa kasi wa 4G na 5G uliosambaa nchini na hatimaye kuongeza matumizi ya simujanja ambayo kwa sasa ni asilimia 32," alifafanua Bi. Linda.
Thursday 18 April 2024
TIGO YAZINDUA FIBER KWA AJILI YA INTANETI YA NYUMBANI NA OFISINI
- Mji wa Mbweni jijini Dar es Salaam kuwa mnufaika wa kwanza wa huduma hii ya intaneti
Huduma hii muhimu inasisitiza dhamira ya Tigo ya kusaidia mabadiliko ya kidijitali nchini Tanzania kwa kusambaza teknolojia na huduma za kisasa zinazomnufaisha kila mtumiaji nyumbani na maeneo ya biashara.
Akizungumzia dhamira ya Tigo ya kuleta mabadiliko katika hali ya kidijitali nchini Tanzania, Mkurugenzi Mtendaji wa Tigo Tanzania, Kamal Okba alisema, “Tunajivunia kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano kuzindua mtandao wa Fiber hadi Nyumbani na Ofisini nchini Tanzania. Hii inaimarisha nafasi yetu kama viongozi katika mageuzi ya mtindo wa maisha ya kidijitali na wakati huo huo ikichangia katika utekelezaji wa ajenda ya kidijitali ya Tanzania.”
Naye Mkuu wa Chapa (Brand) na Mawasiliano Tigo, Anna Loya, alisema, “Tuna dhamira ya ubunifu na kuridhika kwa wateja, tumewekeza kwa kiasi kikubwa katika kusambaza teknolojia ya kisasa ya fiber ili kutoa uzoefu usio na kifani wa muunganisho. kuwezesha biashara na kaya na tija na ushirikiano ulioimarishwa. Huduma mpya ya Tigo Fiber inaahidi kasi ya mtandao ya kasi zaidi, huduma zisizo na kifani na usaidizi kwa wateja ili kuleta mapinduzi katika namna Watanzania wanavyoungana na kujihusisha na ulimwengu wa kidijitali.”
DKT. NCHEMBA ATETA NA UONGOZI WA IMF KUHUSU UTEKELEZAJI WA BAJETI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameliambia Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwamba utekelezaji wa Bajeti Kuu ya Serikali unaathiriwa na hali mbaya ya hewa inayosababishwa na mabadiliko ya tabianchi ambapo kiasi kikubwa cha fedha ambacho kingeelekezwa kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya wananchi kinaelekezwa kukabiliana na athari za mafuriko yaliyotokea katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania kufuatia mvua za el nino zinazoendelea kunyesha.
Dkt. Nchemba ameyasema hayo alipoongoza ujumbe wa Tanzania katika kikao na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Bw. Willie Nakunyada, kando ya mikutano ya Majira ya Kipupwe (Spring Meetings) ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) inayoendelea jijini Washington D.C, nchini Marekani.
Alisema kuwa wakati wa utekelezaji wa Bajeti inayoendelea ya mwaka 2023/2024 mabadiliko ya tabianchi yameathiri mtiririko wa utoaji wa fedha kwenda kwenye miradi ambayo ingesaidia kwa kiasi kikubwa kuchachua shughuli za kiuchumi badala yake zinatumika kurekebisha miundombinu iliyoharibiwa na mafuriko ikiwemo madaraja, barabara, na miundombinu mingine ya huduma za jamii.
Subscribe to:
Posts (Atom)